watu wengi hapa town wanapenda kuwa na vitu bora zaidi kuliko mtu mwingine hasa tukiangazia kwenye upande wa simu.Leo katika post yangu nawaletea simu mpya kabisa aina ya HOMTOM S9 PLUS yenye uwezo wa hali ya juu
simu hii ni kubwa na ina kidhi mahitaji ya mtu na kwa wale wanaopenda simu kubwa basi jibu ni homtom s9 plus ina ukubwa wa inch 6.0
na ina kamera mbili ya mbele na nyuma yenye mega pixel 16 ambayo itakuwezesha kupiga picha zenye muonekano wa hd
furahia uwezo wa homtom s9 plus kwa kudownload videos,miziki pamoja na picha kwan ina storage ya 64 gb pamoja na ram yenye uwezo wa 4 gb kwa wale wapendao kuweka app kubwa pamoja na kucheza magemu basi sulihisho ni homtom s9 plus
inatunza chanji kwa muda mrefu pia processor yake ni kubwa kwa performance nzuri
Homtom s9 plus sifa kamili
Display: 5.99 inch /720p
Aspect ratio: 18:9 full display
Processor: media tec MT6750 T octa core
GPU: ARM Mali T860 MP2@650 M 12
Storage: 4gb Ram 64 gb Rom memory: 128 expendable memory
Front camera: 13 MP
System: Android 7.0 NOUGAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mwandishi
Mimi ni kijana mwenye passion na computing system kadhalika na softwares blog hii nimeitengeneza ili niweze kusaidia wana blog wenzangu pamoja na watu wote kiujumla ili waweze kupata ujuzi,mbinu na taarifa mbalimbali kuhusu Teknolojia,
gadgets,widgets,softwares,hardwares na adsense
ReplyDeleteSAFI SANA MOTECH KWA KUTUPA TAARIFA KUHUSU SIMU NZURI HII PHONE SEMA UKWELI IKO POA SANA KEEP IT UP BRO!!
ReplyDeletehawa homtom wamekuja na teknolojia ya double camera bac focus itakuwa nzuri sana
ReplyDeletenimeipenda sana hii teknoljia ya double camera ,homtom wako vizuri