Leo nawaonesha namna ya ku-crop au kukata pamoja na ku-resize au kupungunza ama kuongeza ukubwa wa picha yako.Fata hatua hizi
1.Fungua paint
2.Nenda kwenye kibox cha rectangle kilicho andikwa select
3.Na uchague kati ya rectangular selection au free form selection
>Jinsi ya kuresize
1.Bonyeza kibox kilichoandikwa resize kisha utaona sehemu imeandikwa horizontal na vertical,nenda sehemu iliyoandikwa pixel.
3.Na uchague kati ya rectangular selection au free form selection
1.Bonyeza kibox kilichoandikwa resize kisha utaona sehemu imeandikwa horizontal na vertical,nenda sehemu iliyoandikwa pixel.
No comments:
Post a Comment